02,RAJAB,1434 Hijiriyah/ May 12,2013 Miyladiyah
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilali
(kulia) na Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe Raymon Moshi mara baada ya kutua katika Uwanja wa
Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam leo Mei 11, 2013
akitokea Cape Town, Afrika ya Kusini, alikohudhuria mkutano wa nchi SADC(PICHA NA IKULU)
Sikiliza Live
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment