02,RAJAB,1434 Hijiriyah/ May 12,2013 Miyladiyah
Jeshi la polisi Kanda maalumu ya Dar es
salaam limekanusha taarifa zilizozagaa kuwa kanisa la KKKT Usharika wa
Kunduchi limelipuliwa na bomu leo hii.Kamanda Suleiman Kova ameiambia
radio Uhuru Fm kuwa taarifa hizo hazina ukweli wowote na ni za uzushi
kwani jeshi la Polisi lilirusha bomu la machozi wakati likitafuta
waharifu waliokuwa jirani na kanisa hilo.
Sikiliza Live
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment