Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Rais mstaafu wa Nigeria na Balozi wa
heshima wa IITA Chief Olesegun Obasanjo na Rais Mstaafu wa Tanzania Mzee
Benjamin William Mkapa
wakiangalia aina mbalimbali ya mihogo wakati wa uzinduzi wa jengo la sayansi katika kituo cha Taasisi ya Kimataiafa ya Kilimo cha Tropiki (IITA) Mikocheni jijini Dar es salaam leo
wakionja mikate iliyotengenezwa kwa unga
wa muhogo wakati wa uzinduzi wa jengo la sayansi katika kituo cha
Taasisi ya Kimataiafa ya Kilimo cha Tropiki (IITA) Mikocheni jijini Dar
es salaamwakiangalia aina mbalimbali ya mihogo wakati wa uzinduzi wa jengo la sayansi katika kituo cha Taasisi ya Kimataiafa ya Kilimo cha Tropiki (IITA) Mikocheni jijini Dar es salaam leo
wakisikiliza
maelezo ya kitaalamu juu ya utafiti wa maradhi ya migomba toka kwa
Profesa Rony Swennen wakati wa uzinduzi wa jengo la sayansi katika kituo
cha Taasisi ya Kimataiafa ya Kilimo cha Tropiki (IITA) Mikocheni jijini
Dar es salaam
Rais mstaafu wa Nigeria na Balozi wa heshima wa IITA Chifu Olesegun Obasanjo na Rais Mstaafu wa akihutubia wakati wa uzinduzi wa jengo la sayansi katika kituo cha Taasisi ya Kimataiafa ya Kilimo cha Tropiki (IITA)
0 comments:
Post a Comment