22Rajab,1434
Hijiriyah/ JUNY 01,2013 Miyladiyah
Kufuatia wito wa rais Jakaya Kikwete kwa
marais wa mataifa ya maziwa Makuu marais Paul Kagame, wa Rwanda, Joseph
Kabila wa jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Yoweri Museveni wa Uganda,
kuzungumza na makundi ya waasi yanayopambana na nchi zao, wabunge wa
Kongo Kwenye taarifa yao ya pamoja iliyosomwa na mbunge Benjamin
Mukulungu , wabunge hao wa Kivu Kusini na Kaskazini wameomba kuwe na
mtazamo wa jumla wa viongozi wa kanda ya maziwa makuu na umoja wa
mataifa ili kumaliza vita nchini CongWabunge wa Kivu wamepongeza msimamo
wa rais wa Tanzania Jakaya Kikwete wa kutaka kuwe na mazungumzo kati ya
serikali za Congo Rwanda na Uganda na makundi ya waasi wanayopingana
nayWabunge wa Kivu wametaka pendekezo la Rais Kikwete ni lazima lipewe
kipaumbele na jumuiya ya kimataifa ili kuwe na amani ya kudumu kwenye
eneo hilo.Mbunge wa upinzani Emerio Kunji kutoka jimbo la Kasai amesema
amepanga kutoa hoja rasmi bungeni ili kuweko na azimio la bunge kuhusu
msimamo ambao serikali ya Congo inatakiwa kuchukua kwa ajili ya kutatua
mzozo wa Kivu
0 comments:
Post a Comment