Powered by Blogger.

Sikiliza Live

Thursday 9 May 2013

SHEIKH PONDA AFUNGWA KIFUNGO CHA NJE

Makahama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar Es Salaam,imemfunga kifungo cha nje cha mwaka mmoja katibu wa Jumuiya na Taasisi za KiislamTanzania Shekhe Ponda Issa Ponda,huku washtakiwa wengine wote 49 wakiachiwa huru. Katika hukumu hiyo Sheikh Ponda anatakiwa asituhumiwe/asifanye kosa jingine lolote kwa miezi sita. Na ikitokea akifanya hivyo hukumu hiyo itahamishiwa kwenye hukumu halisi kwa maana ataenda jela kwa muda uliobaki.




0 comments:

Post a Comment