Makahama
ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar Es Salaam,imemfunga kifungo cha nje cha
mwaka mmoja katibu wa Jumuiya na Taasisi za KiislamTanzania Shekhe Ponda
Issa Ponda,huku washtakiwa wengine wote 49 wakiachiwa huru. Katika
hukumu hiyo Sheikh Ponda anatakiwa asituhumiwe/asifanye kosa jingine
lolote kwa miezi sita. Na ikitokea akifanya hivyo hukumu hiyo
itahamishiwa kwenye hukumu halisi kwa maana ataenda jela kwa muda
uliobaki.
Sikiliza Live
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment