Powered by Blogger.

Sikiliza Live

Sunday 12 May 2013

BAADHI YA VIONGOZI WAANDAMIZI WA Tv Afrika Swahili

                                    03,RAJAB,1434 Hijiriyah/ May 13,2013 Miyladiyah

Baadhi ya viongozi waandamizi wa tv afrika inayorusha matangazo yake kwa lugha ya kiswahili kutokea mjini Khartum nchini Sudan,kwanzia kulia ni Mundhir Husein kutoka kitengo cha kurikodi na uhariri anaefuatia ni Ust:Shams Elmi mkuu wa studio za tv Afrika swahili nchini Tanzania,mwenye suti nyeusi ni  Al-akh Hudhaifiy Abdul karim mkurugenzi mkuu wa tv afrika na wamwisho kushoto ni Ust Muharam Idris Mwaita msimamizi mkuu wa studio zizopo Afrika ya mashariki.

0 comments:

Post a Comment