12Jumaadal Aakhir,1434 Hijiriyah/ April 22,2013 Miyladiyah
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na
Teknolojia Prof: Makame Mbarawa akimkaribisha ofisini kwake jijini Dar
es salaam Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Bw.Rene Meza ambapo
baadae viongozi hao walifanya mazungumzo juu ya masuala mbalimbali
katika sekta ya mawasiliano ya simu za mkononi nchini na mipango ya
Vodacom ya kushirikiana na serikali kuboresha zaidi sekta hiyo
Sikiliza Live
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment