22,Jumaadal ula,1434Hijiriyah/ April 03,2013Miyladiyah
Habari zilizo tufikia hivi punde ni kuwa Tunduma
hali ni mbaya huku kwa zaidi ya masaa matano polisi wamekua wakipambana
na raia na tayari msikiti mmoja umechomwa moto huku watu wakiamriwa
kukaa ndani na mabomu ya machozi yamekua yakitupwa hadi vyumbani.
Bado tuna fanya jitihada za kumpata kamanda wa polisi wa Tunduma kwa maelezo ya kina juu ya hali ilivyo huko.
Sikiliza Live
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment