Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Viongozi wakati alipomaliza
kukagua gwaride la Vikosi vya ulinzi katika kilele cha sherehe za
kutimiza Miaka 49 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, zilizofanyika leo
katika uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja
Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Viongozi wakati alipomaliza
kukagua gwaride la Vikosi vya ulinzi katika kilele cha sherehe za
kutimiza Miaka 49 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, zilizofanyika leo
katika uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja
Vikosi vya Ulinzi na Usalama vikipita na kutoa heshima mbele ya
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Maraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohammed
Shein wakati wa maadhimisho ya miaka 49 ya mapinduzi ya Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Ali
Mohamed Shein, akikagua Gwaride wakati wa Sherehe za Mapinduzi,
zilizofanyika leo kwenye Uwanja wa Amani mjini Zanzibar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed
Gharib Bilal, akisalimiana na Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar,
Ameir Pandu Kificho, wakati alipowasili kwenye Uwanja wa Amani Mjini
Zanzibar leo kwa ajili ya kuhudhuria katka sherehe za Mapinduzi ya
Zanzibar.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed
Gharib Bilal, akisalimiana na Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowasa, wakati
alipowasili kwenye Uwanja wa Amani Mjini Zanzibar leo kwa ajili ya
kuhudhuria katka sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed
Gharib Bilal, akizungumza na Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar,
Maalim Seif, wakati alipowasili kwenye Uwanja wa Amani Mjini Zanzibar
leo kwa ajili ya kuhudhuria katka sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar
0 comments:
Post a Comment