Sikiliza Live
Tuesday, 16 October 2012
Rais wa Zanzibar amwachisha kazi Mansoor Yussuf Himid
Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohammed Shein amemwachisha kazi Waziri
asiyekuwa na wizara maalum Mansoor Yussuf Himid na kumteua Bi Shawana
Buheti Hassan kuchukua wadhifa huo.
Hatua hiyo hata hivyo imekuja wakati ambapo Zanzibar ipo katika harakati
za kutaka mabadiliko ya mfumo wa Muungano na Bwana Mansoor amekuwa
mstari wa mbele katika mchakato huo wa kutetea mageuzi. Hatua hiyo ya
rais imezusha hisia mbali mbali miongoni mwa wananchi wa visiwa hivyo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment