Sikiliza Live
Tuesday, 16 October 2012
Dkt.Bilal Afungua Mkutano Wa TAKUKURU
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.
Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akifungua rasmi Mkutano Mkuu wa mwaka
wa Viongozi wa Takukuru, uliofanyika katika Ukumbi wa Mlimani City, jijini Dar
es Salaam, leo Oktoba 16, 2012. Mkutano huo unatarajiwa kumalizika kesho.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment