Mkuu wa wilaya ya Iringa ambae ni
kaimu mkuu wa mkoa wa Iringa Dr Leticia Warioba akitembelea maeneo ya mashine tatu kuona jinsi ambavyo polisi walivyojipanga kupambana na
wavunjaji wa sheria
Ulinzi mkali eneo la Mashine tatu mjini Iringa hivi sasa ,Machinga wakubali yaishe wasitisha kuvunja sheria
Wafanyabiashara waliotaka kufanya biashara eneo la Mashine tatu waondoka baada ya
polisi kukesha wakilinda eneo hilo usiku kucha leo
0 comments:
Post a Comment