Mwenyekiti
wa CUF Prof Ibrahim Lipumba ameitaka serikali kumuachilia kwa dhamana
Sheikh Ponda Issa Ponda kwani amewekwa ndani kinyume na utaratibu.
Prof
Lipumba amedai kusema kwamba Sheikh Ponda alihusika na uchomaji wa
makanisa ni uongo na kitendo cha kumkamata ndicho kilichochochea vurugu
zilizofanyika wiki iliyopita.
Amesema ili kurejesha amani na kunusuru nchi kuingia katika mfarakano ni lazima kwanza kiongozi huyo wa waislam aachiliwe huru.
Sikiliza Live
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment