Powered by Blogger.

Sikiliza Live

Friday, 19 October 2012

Wazayuni(mayahudi) wanataka nini katika sekta ya sinema duniani?

Wazayuni wanataka nini katika sekta ya sinema duniani?
Katika zama zetu hizi, sinema ni chombo muhimu kinachotumiwa kueneza utambulisho, utamaduni na fikra. Mfano maalumu wa uwekezaji mkubwa katika sekta ya sinema duniani ni uwekezaJi wa Wazayuni katika sekta hii.
Wazayuni walifahamu mapema sana taathira ya sekta ya sinema na umuhimu wake katika propaganda na ili kuidhibiti sekta hii walitumia uwezao wao wote.
Mwanzoni mwa kudhihiri sekta ya sinema duniani, Mayahudi walitoa misaada mikubwa ya kifedha kwa kwa sekta hiyo muhimu kwa lengo la kutekeleza njama zao za kishetani. Kwa hivyo  baada ya muda usio mrefu Mayahudi walinunua mashirika mashuhuri ya kutengeneza filamu duniani na hasa Marekani ili kuweza kudhibiti na kuhodhi utengenezaji filamu hasa katika nchi za Magharibi. Ni kwa sababu hii ndio hivi sasa aghalabu ya mashirika ya kutengeneza filamu Marekani yanamilikiwa na Wazayuni. Kwa msingi huo mbali na kupata faida kubwa itokanayo na uuzaji filamu, Wazayuni wanatumia filamu kueneza fikra zao potofu duniani.
Kwa mfano ushawishi wa Wazayuni katika Hollywood ni mkubwa kiasi kwamba tukio bandia la Holocaust sasa limebadilika na kuwa nadharia inayokubalika Hollywood na kila mtengeneza filamu ambaye anafanyia kazi nadharia hiyo anapata uungaji mkono mkubwa wa kifedha kutoka kwa Wazayuni. Uungaji mkono huu huanza tokea wakati wa utengenezaji filamu hadi inapopigiwa debe katika vyombo vya habari ili kuonyeshwa katika kumbi za sinema kote duniani.
Hata katika medani za mashindano katika matamasha ya filamu duniani, Wazayuni huhakikisha kuwa filamu wazitakazo ndizo zinazopata zawadi bora zaidi.
Neal Gabler, mwandishi Myahudi katika kitabu chenye anuani ya ‘An Empire of Their Own: How the Jews Invented Hollywood’ yaani ‘Ufalme Wao Binafasi: Namna Mayahudi Walivyobuni Hollywood’ ameashiria studio kadhaa kubwa za kutengeneza filamu Hollywood zinazomilikiwa na Mayahudi. Kati ya studio au mashirika  hayo ni Colombia, Metro Golden-Mayer, Warner Brothers, Paramount, Universal na Fox.
Norman F. Cantor mhadhiri wa Chuo Kikuu  cha New York katika utafiti alioufanya mwaka 1994 aliashiria nukta hii kuwa, utengenezaji na usambazaji filamu Hollywood katika miaka 50 ya awali ulikuwa chini ya udhibiti wa Mayahudi wahamiaji na hivi sasa pia sehemu kubwa ya sekta ya sinema Marekani inahodhiwa na Mayahudi.
Ushawishi huu hasa unajumuisha pia kuwaunga mkono wacheza filamu Mayahudi kiasi kwama leo huko Hollywood kuna idadi kubwa ya wacheza na watengeneza filamu Mayahudi ambao wanaunga mkono utawala wa Kizayuni wa Israel.  Kwa hivyo mbali na kuwa utawala wa Kizayuni unawuanga mkono wasanii Mayahudi’ vile vile wasanii hao pia binafsi wana raghba ya kueneza na kutangaza fikra za Kizayuni. Watengeneza filamu waungaji mkono Utawala wa Kizayuni ni kama vile Erich von Stroheim, Fritz Lang, Roman Polanski, Steven Spielberg na Samuel Goldwyn. Watengeneza filamu hawa ambao baadhi wameshafariki si tu kuwa ni waungaji mkono Israel bali pia athari zao zilikuwa na lengo la kutangaza fikra za Kizayuni.
Je, ni kitu gani kilichozingatiwa katika filamu hizi na ni maudhui ipi iliyopewa umuhmu katika filamu zinazounga mkono utawala bandia wa Israel?
Steven Spielberg mtengeneza filamu Mmarekani alijadili kadhia ya Holocaust katika filamu yake ya mwaka 1993 iliyopewa jina la ‘Schneider’s List’ au ‘Orodha ya Schneider’. Kwa miaka mingi kupitia taasisi ya Kizayuni ya SHOA, Spielberg alifanya bidii kukusanya visa vinavyohusiana na tukio bandia la Holocaust. Aidha alishirikiana na taasisi nyingi za kielimu kuhusiana na suala hili.
Karen Polak mkurugenzi wa moja kati ya taasisi alizoshirikiana nazo Spielberg anasema lengo la filamu kama ‘Schindler’s List’ ni kutoa mafunzo kwa ajili ya kuhakikisha kuwa vizazi vijavyo vina maelezo kamili kuhusu kadhia ya Holocaust. Kwa hivyo linalobainika hapa ni kuwa watengeneza filamu katika Hollywood pamoja na wanafunzi wao katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) wanafanya kila wawezalo kubakisha hai tukio bandia la Holocaust na kueneza fikra potofu kuwa Mayahudi walidhulumniwa katika Vita Vikuu vya Pili vya Dunia.
Kwa mujibu wa nyaraka za kihistoria sambama na kubuniwa utawala wa Kizayuni wa Israel mwaka 1948 uzingatiwaji sekta ya sinema na Wazayuni pia ulianza kwa mpangilio maalumu. Kwa miaka mingi Wazayuni wamekuwa wakijipenyeza nyuma ya pazia katika nafasi muhimu za uongozi Hollywod ili waweze kudhibiti mkondo wa utengenezaji filamu duniani kwa maslahi yao haramu. Pamoja na hayo hawakuwa wanajihusisha moja kwa moja katika masuala ya sinema kimataifa . Lakini kutoka mwaka 2000 hadi sasa, filamu ambazo hutengenezwa katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) zimekuwa zikishirikishwa katika matamasha ya kimataifa. Kwa hivyo Wazayuni sasa wanajitokeza waziwazi katika sekta ya filamu dunia.
Kufanyika ‘Tamasha ya Filamu ya Israel’ katika miji wa Los Angeles, Miami na New York ni mfano wa kujitokeza wazi Wazayuni katika sekta ya filamu. Tamasha hizi hufanyika kwa ushirikiano wa Utawala wa Kizayini na Marekani ambapo filamu zilizotengenezwa Israel huonyeshwa.
Jambo ambalo limebainika ni kuwa harakati hizi haziishii tu katika kueneza fikra za Kizayuni. Mwaka 1993,  utawala wa Kizayuni wa Israel unaokalia Quds Tukufu kwa mabavu ulianzisha New Foundation for Cinema and Television  yaani ‘Taasisi ya Mpya ya Israel ya Sinema na Televisheni’. Kupitia taasisi hii, Utawala wa Kizayuni unakusudia kueneza ushawishi wake katika soko la sinema duniani. Taasisi hii yenye bajeti kubwa ya kifedha inajitahidi sana kuwavutia watengeneza filamu Waarabu.
Amir Isfandyar mtaalamu wa sinema Iran anasema hivi kuhusu suala hili: “Wataalamu 40 wa sinema Palestina akiwemo Aliya Suleiman, Rashid Masharawi na Hany Abu-Assad walitoa taarifa na kukosoa vikali mchezo huu wa kipropaganda wa Wazayuni. Pamoja na kuwepo malalamiko hayo Wazayuni wanaendelea kuwekeza katika taasisi hiyo ili kueneza sera zao duniani. Jambo la kushangaza hapa ni kuwa Wazayuni hata wanawaunga mkono watengeneza filamu Waarabu ambao wanatengeneza filamu ambazo kidhahiri zinapinga Uzayuni. Lakini imebainika kuwa lengo la uungaji mkono huu ni kuwadhibiti zaidi watengeneza filamu Waarabu na iwapo hili litaendelea litakuwa ni kwa hasara ya Wapalestina. Uchunguzi kuhusu filamu zilizotengenezwa na Wazayuni umebaini kuwa lengo si kutengeneza tu filamu zinazotetea mitazamo ya Kizauni kama vile kuhusu Holocaust bali lengo jingine ni kuchafua sura ya Uislamu halisi. Lakini kile wanachosahau Wazayuni ni kuwa Uislamu ni chimbuo la uokozi wa mwanaadamu na hivyo filamu za Hollywood haziwezi kubadilisha mkondo wa marekebisho  na ustawi wa mwanaadmau katika Uislamu. Katika kujaribu kukabiliana na Uislamu Hollywood pia imejaribu kutengeneza filamu kuhusu mwokozi wa dunia lakini mwokozi wanaomuonyesha hana umaanawi wala utakatifu. Suala hili linahitaji utafiti zaidi, lakini kile kinachobainika wazi hapa ni kuwa pamoja na kutumia uwezo na suhula zao zote za kipropaganda na vyombo vya habari, Wamagharibi na Wazayuni hawawezi kufanikiwa katika kueneza hadaa yao kwani hivi sasa mataifa yameamka na hayadanganyiki tena.
Hivi sasa waliowengi duniani wanafahamu vyema kuwa njama kama ya hivi karibuni ya Mzayuni huko Marekani ya kueneza uongo na matusi dhidi ya Mtume wa Uislamu SAW haitakuwa na natija nyingine ila kuweka wazi zaidi malengo machafu ya Wazayuni.

0 comments:

Post a Comment