Powered by Blogger.

Sikiliza Live

Monday, 15 October 2012

Rais wa Myanmar aizuia OIC kufungua ofisi

Rais Thein Sein wa Myanmar amezuia Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) kufungua ofisi nchini humo kwa ajili ya Waislamu wa jamii ya Rohingya.
Taarifa iliyotolewa  na ofisi ya Rais wa Myanmar imeeleza kuwa, Sein hatoruhusu kufunguliwa ofisi ya OIC nchini humo eti kwa kuwa haiendani na maslahi ya wananchi. Sein amechukua uamuzi huo baada ya mabudha nchini humo kufanya maandamano kupinga juhudi za OIC za kutaka kuwasaidia Waislamu wa kabila la Rohingya wanaokandamizwa nchini humo.

0 comments:

Post a Comment