Sikiliza Live
Monday, 15 October 2012
Moro yafikia makubaliano na serikali, Ufilipino
Wanaharakati wa Moro Islamic Liberation Front wa nchini Ufilipino
wametia saini makubaliano ya amani na serikali ya nchi hiyo, hatua
inayotarajiwa kusitisha uhasama kati ya pande mbili hizo uliodumu kwa
takriban miongo 4. Sherehe za kusaini makubaliano hayo zimefanyika jana
katika ikulu ya rais mjini Manila.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


0 comments:
Post a Comment