والفجر,وليال عشر(صدق الله العظيم)NAAPA KWA ALFAJIRI NA MASIKU KUMI YA DHULHIJAH
Je?wajua kama masiku kumi ya mwanzo mwa Dhulhijah ndiyo masiku pekee yanayo jumuisha takriban ibada zote katika uislamu,kwani katika masiku haya kuna Hija,Swala,Zaka,Funga na ibada nyingine.
Radio Qiblaten 103.6 FM ni Radio ya Kiislam ambao ipo Mkoani Iringa... Dhumuni lake ni Kuelimisha jamili Mkoani Iringa na Tanzania na Dunia kwa Ujumla kwa kutumia vipindi vya Radio, tukizingatia makundi katika jamii yetu.
0 comments:
Post a Comment