Powered by Blogger.

Sikiliza Live

Monday, 15 October 2012

kukamatwa kiongozi wa MRC kwaleta wasiwasi

Habari kutoka mjini Kwale katika Pwani ya Kenya zinasema kuwa hali ya wasiwasi imetanda saa chache baada ya kutiwa mbaroni kiongozi wa kundi la MRC, Omar Mwamnuadzi.
Habari zaidi zinasema kuwa, wanachama wa MRC wamefanya shambulizi la kulipiza kisasi ambapo watu 2 akiwemo afisa wa serikali wameuawa.

0 comments:

Post a Comment