Habari kutoka mjini Kwale katika Pwani ya Kenya zinasema kuwa hali ya
wasiwasi imetanda saa chache baada ya kutiwa mbaroni kiongozi wa kundi
la MRC, Omar Mwamnuadzi.
Habari zaidi zinasema kuwa, wanachama wa MRC wamefanya shambulizi la
kulipiza kisasi ambapo watu 2 akiwemo afisa wa serikali wameuawa.
Sikiliza Live
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


0 comments:
Post a Comment