Sikiliza Live
Sunday, 14 October 2012
Dr.Bilal awaaga Wagenyi wa Allah(mahujaji).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na baadhi ya Mahujaj kati ya
150 walioondoka jana kuelekea Saud Arabia tiari kwa ajili ya kutekeleza moja kati ya nguzo tano za uislamu(Hijah). Makamu alifika katika Uwanja
wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jana jioni Oktoba 14, 2012 na
kuzungumza na Mahujaj hao kuwaaga na kuwakabidhi Misahafu kila mmoja kabla ya kuondoka.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


0 comments:
Post a Comment