BAADA YA TUKIO LA FILAMU YA KUMDHIHAKI MTUME MUHAMAD(s.a.w) NCHINI TZ QUR-AAN YANAJISIWA KWA HAJA NDOGO
Baadhi ya waumini wa dini ya kislamu waki sikiza maelezo kutoka jeshi la Polisi katika maandamano ya kulaani kudhihakiwa kwa Qur-aan tukufu kwa kunajisiwa na kijana mmoja alie julikana kwa jina la Emanueli Josephat alie kinajisi kitabu hicho kitukufu kwa haja ndogo.
Radio Qiblaten 103.6 FM ni Radio ya Kiislam ambao ipo Mkoani Iringa... Dhumuni lake ni Kuelimisha jamili Mkoani Iringa na Tanzania na Dunia kwa Ujumla kwa kutumia vipindi vya Radio, tukizingatia makundi katika jamii yetu.
0 comments:
Post a Comment