03 Shaaban,1434
Hijiriyah/ June12 ,2013 Miyladiyah
Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohd Shein
wakwanza kushoto akisalimiana na Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar
Maalim Seif Sharif Hamadi katika Ufunguzi wa kituo cha mradi wa
uimarishaji miundombinu ya usambazaji wa Umeme kilichojengwa kwa msaada
wa JICA hapo mtoni Mjini Zanzibar
Ras wa Zanzibar Dk Ali Mohd Shein kushoto
akiwa pamoja na Balozi wa Japan Nchini Tanzania Masaki Okada wakifungua
kituo cha mradi wa uimarishaji miundombinu ya usambazaji wa Umeme
kilichojengwa kwa msaada wa JICA hapo mtoni Mjini Zanzibar
Sikiliza Live
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment