15 Rajab,1434
Hijiriyah/ May 25,2013 Miyladiyah
Taasisi ya Utafiti ya Afrika Kusini imetangaza kuwa, zaidi ya asilimia
25 ya wananchi wa nchi hiyo hawana kazi. Taasisi hiyo imetangaza kuwa,
kiwango sahihi cha watu wasiokuwa na kazi nchini humo ni zaidi ya
asilimia 25. Taasisi hiyo imeeleza kuwa, miezi mitatu ya mwanzo ya mwaka
huu wa 2013 inaonyesha kuwa , kiwango cha watu wasio na kazi
kiliongezeka kwa watu laki moja, na kufikia watu milioni nne na laki
sita. Wataalamu wa kiuchumi wa Afrika Kusini wanaeleza kuwa, kiwango cha
juu cha watu wasiokuwa na kazi nchini humo ni moja ya sababu ya kuibuka
mara kwa mara ghasia na machafuko nchini humo
Sikiliza Live
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment