Rais Jakaya Kikwete (kushoto) akiteta
jambo na mbunge wa jimbo la Isimani na waziri wa nchi ofisi ya
waziri mkuu sera na uratibu wa bunge Mh Wiliam Lukuvi leo kabla ya
kuzindua barabara ya Iringa - Dodoma
Sehemu ya Ujenzi wa barabara ya iringa-dodoma ukiendelea huku maeneo ya isimani wilaya ya iringa vijijin
Uwekaji jiwe la msingi barabara ya Iringa-Dodoma uliofanyika migori mtera
0 comments:
Post a Comment