13Rajab,1434
Hijiriyah/ May 23,2013 Miyladiyah
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisoma hotuba yake wakati wa
maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Utokomezaji wa Ugonjwa wa Fistula,
Balozi wa Uingereza nchini, Dianna Melrose, akizungumza wakati wa maadhimisho hayo.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Stellah Nzyemba,
ambaye awali alikuwa mgonjwa na baada ya kutibiwa katika Hospitali hiyo
ya CCBRT na kupona ameajiriwa ili kuwasaidia wagonjwa wa Fistula
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitembelea katika Wodi ya wagonjwa wa Fistula
Sikiliza Live
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment