Breaking
News:Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mh Anna
Makinda,amelazimika kuliahirisha bunge kwa dharura ili kutoa nafasi kwa
Kamati ya kudumu ya maadili ya bunge kupitia hotuba ya makadirio ya
wizara ya Habari,Vijana utamaduni na michezo,iliyokuwa inawasiliashwa na
Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi ambaye ni msemaji wa kambi ya
upinzani kwa wizara hiyo kwa maelezo kuwa hotuba hiyo ilikuwa imejaa
uchochezi.
0 comments:
Post a Comment