Powered by Blogger.

Sikiliza Live

Thursday 18 April 2013

wanajumuiya MUCE wapatiwa mafunzo ya jinsi ya kuzima moto

 Mmoja wa askari wa jeshila zimamoto mkoani iringa akielekeza namna ya kuzima moto kwa kutumia Kifaa cha kuzimia moto (fire extinguisher) Chuoni mkwawa.

Zurufa Adamu  muhudumu  katika ofisi za Chuo  kikuu cha Mkwawa akifanya majaribio ya uzimaji moto katika kuhitimisha mafunzo ya siku tatu waliopatiwa.

 Insp. komba akielekeza namna ya kuzima moto sehemu ya wazi na mbinu zake.

Chanzo Mjid mjengwa Blogs


0 comments:

Post a Comment