Mmoja wa askari wa jeshila zimamoto
mkoani iringa akielekeza namna ya kuzima moto kwa kutumia Kifaa cha
kuzimia moto (fire extinguisher) Chuoni mkwawa.
Zurufa Adamu muhudumu katika ofisi
za Chuo kikuu cha Mkwawa akifanya majaribio ya uzimaji moto katika
kuhitimisha mafunzo ya siku tatu waliopatiwa.
Insp. komba akielekeza namna ya kuzima moto sehemu ya wazi na mbinu zake.
Radio Qiblaten 103.6 FM ni Radio ya Kiislam ambao ipo Mkoani Iringa... Dhumuni lake ni Kuelimisha jamili Mkoani Iringa na Tanzania na Dunia kwa Ujumla kwa kutumia vipindi vya Radio, tukizingatia makundi katika jamii yetu.
0 comments:
Post a Comment