Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipeana mikono na Mwenyekiti wa Makampuni
ya IPP Dkt Reginald Mengi ambaye alichangia shilingi milioni 100 kwa
ajili ya kusaidia upanuzi na maendeleo ya Chuo Cha Kiislamu cha
Al-Haramain kwenye hafla ya harambee iliyofanyika Jumamosi usiku katika
hoteli ya Serena jijini Dar es salaam.
Mufti wa Tanzania Sheikh Issa bin Shaaban Simba akimshukuru Mwenyekiti
wa Makampuni ya IPP Dkt Reginald Mengi ambaye alichangia shilingi
milioni 100 kwa ajili ya kusaidia upanuzi na maendeleo ya Chuo Cha
Kiislamu cha Al-Haramain kwenye hafla ya harambee iliyofanyika Jumamosi
usiku katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam
Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Rais Mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi, Mufti
wa Tanzania Sheikh Issa bin Shaaban Simba, KATIBU Mkuu wa Baraza la Kuu
la Waislamu Tanzania (BAKWATA), Sheikh Suleman Lolila (wa pili kulia),
Kadhi Mkuu Sheikh Abdallah Mnyasi (kulia) na Shehe wa Mkoa wa Dar es
salaam Alhaj Alhad (kushoto) wakiomba dua baada ya harambee kusaidia
upanuzi na maendeleo ya Chuo Cha Kiislamu cha Al-Haramain kwenye hafla
iliyofanyika Jumamosi usiku katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza
Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP Dkt Reginald Mengi ambaye alichangia
shilingi milioni 100 na Mwenykiti wa NCCR-Mageuzi Mhe James Mbatia
aliyechangia shilingi milioni mbili kwa ajili ya kusaidia upanuzi na
maendeleo ya Chuo Cha Kiislamu cha Al-Haramain kwenye harambee
iliyofanyika Jumamosi usiku katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam
Rais Kikwete akihutubia kwenye harambee ya kuchangia upanuzi wa ujenzi Chuo cha Kiislamu cha Al- Haramain (Chanzo: Ikulu).
0 comments:
Post a Comment